Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dalali.wewe ni dalali?
Kivipi!Usitoe tangazo la kuuzwa asset Kama unapiga mnada wa nyanya mbichi sokoni
Nyumba inauzwa maeneo yapi?Kivipi!
Millioni 25 tu.Bei ni 250mil au 25mil. Maana Bei ya 25mil ni fair Sana kwa specifications za hiyo nyumba.
If interested,kuna namba hapo kwa maelezo zaidi.Nyumba inauzwa maeneo yapi?
Ina ukubwa gani?
Ipo karibu na huduma zipi za msingi kijamii kama maji, umeme na usafiri?
Bei inazungumzika au ndiyo hiyo hiyo kama bidhaa ya supermarket?
Ndicho anachomaanisha huyo Jamaa.