House4Sale Nyumba inauzwa milioni 9.5 tuu ipo sofu (Kibaha picha ya ndege)

House4Sale Nyumba inauzwa milioni 9.5 tuu ipo sofu (Kibaha picha ya ndege)

tokenring

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
317
Reaction score
612
Nyumba imeishia usawa wa lenta, Ni ya vyumba 2 kimoja self, sebule kubwa na pia ina choo cha Public inauzwa kiasi cha Mil 9.5. Ipo kwenye eneo lenye ukubwa wa 20×20. Pia shimo la karo limeshachimbwa tayari.

Kuhusu barabara inapakana na barabara ya mtaa kwa mbele.

Umeme huitaji kuweka nguzo ni unavuta tuu .

Maji yapo na majirani wapo.

Karibu mteja!

IMG_20220117_165852_2.jpg

 
Back
Top Bottom