Ni boma la nyumbaSasa hii nyumba au mm sioni
Mno halafu jengo lipo karibu na barabara hapo hujui kesho itakuajeYani kiwanja ni M 12 kwa 15 mbona kidogo sana
Hizo futi ukigeuza kwa mita inakuja kama 15*12 metres!Umetumia kipimo cha futi ili tusielewe, hapo ungetumia mita sio futi.