Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio bati tu hata nyumba zinafanana ila ni tofauti.kujua inahitaji uwe master
Nazani ndio maana post yake kaweka kwenye jukwa la utaniHiyo nyumba ilitumwa hapa kuonyesha jinsi nyumba zinavyojengwa na kuuziwa watu kwa bei juu,lkn ukiangalia kwa nakini ile nyumba ya miti sio nyumba hizi zilizoezekwa bati, kwanza angalia madirisha angalia milango nk ukiwa makini utagungua utofauti,jambo la pili angali hizo nyumba zilizoezekwa NI nyumba mbili tofauti huyu mleta tangazo amekuja hapa kuwamaliIa mb zenu pamoja na wino ktk. Cm utakuta hata yeye hajuia nyumba zipo wapi
WhaooowFolks hapa bei utajipangia mwenyewe karibu sana
View attachment 1448748View attachment 1448747View attachment 1448746
bati nazo.ni feki zinajibadilisha rangi kama kinyonga
nikurudishie bei ya kiwanja nyumba piga chini yoteFolks hapa bei utajipangia mwenyewe karibu sana
View attachment 1448748View attachment 1448747View attachment 1448746