House4Sale Nyumba inauzwa Pugu Station

sele255

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
205
Reaction score
262
Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei yapo. Eneo ni 215 sq m.

Mawasiliano 0744992266 au 0789581889

 
Hebu tupe taarifa ya eneo la kiwanja au shamba hiyo nyumba ilipo.
Ahsante
Ipo karibu na stand ya stesheni ya TAZARA ya pugu (kuelekea chanika kutoka gongolamboto) ni mwendo wa dakika 5 kutoka stesheni. Kama unakuja unapanda magari ya Kigogo fresh au ya Chanika
 
Ipo karibu na stand ya stesheni ya TAZARA ya pugu (kuelekea chanika kutoka gongolamboto) ni mwendo wa dakika 5 kutoka stesheni. Kama unakuja unapanda magari ya Kigogo fresh au ya Chanika

Nilitamani utuambie ukubwa wa eneo kiwanja kilipo mfano Heka1 au square metre ngapi?

Ahsante
 
Nyumba nzuri kulinganana bei yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…