Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,867
Tatizo sio nyumba wala bei yake mkuu,,tatizo ni mahali nyumba iliko..SUMBAWANGA...... Uchawi nje nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli wana JF wa siku hizi ni janga la taifa, yaani mwenzenu ameweka tangazo lake serious kabisa ila nyie mnaleta jokes!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sumbawanga huko unaweza ukauziwa nyumba siku ya kuhamia nyumba huioni
Itakuwa dalaliyaani nitoe 25m ninune nyumba kama hiyo izia uswahili?
Labda nimerogwa
Ha ha ha,Nyumba inauzwa ipo sumbawanga izia,mwendo wa dakika kumi kutoka soko la sabasaba
Urefu wa kiwanja 22M...