House4Sale Nyumba inauzwa tabata Da'west

House4Sale Nyumba inauzwa tabata Da'west

Wamalinyi

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2016
Posts
237
Reaction score
145
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park, eneo limepimwa na lina hati ya makazi, eneo liko barabarani kabisa, kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne, kunaeneo tupu linaloweza kukaa nyumba zingine 2 kubwa, kuna fremu za biashara 7 na zote zina wapangaji eneo halina mgogoro.

Bei ni shilingi milioni 350 maongez yapo.
Mimi ndie mmiliki 0765505756
 
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park,eneo limepimwa na lina hati ya makazi,eneo liko barabarani kabisa,kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne,kunaeneo tupu linaloweza kukaa nyumba zingine2 kubwa,kuna fremu za biashara 7 na zote zina wapangaji eneo halina mgogoro. Bei ni shilingi milioni 350 maongez yapo.
Mimi ndie mmiliki 0765505756
Poa Mkuu wangu
 
Waungwana nauza nyumba eneo la TABATA karibu na Baa maarufu Da'west park,eneo limepimwa na lina hati ya makazi,eneo liko barabarani kabisa,kuna nyumba kubwa ya vyumba vinne,kunaeneo tupu linaloweza kukaa nyumba zingine2 kubwa,kuna fremu za biashara 7 na zote zina wapangaji eneo halina mgogoro.Bei ni shilingi milioni 350 maongez yapo.
Mimi ndie mmiliki 0765505756
Eneo lipo barabarani? Kuna taarifa za upanuzi nini?
 
Back
Top Bottom