Nyumba inauzwa Tabata Liwiti

Nyumba inauzwa Tabata Liwiti

radhiya

Senior Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
118
Reaction score
213
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.

Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti inayotosha kufulia, kuanika nguo na kupumzika.

Ukubwa wa Eneo: Sqm 312.
Nyaraka: Hati ya serikali ya mtaa.

Bei:Milioni 55. Maongezi yanaruhusiwa.

Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.

Mawasiliano:
0784 829565
0767 833345
@prathlimited
 
Muuzaji mwenye nyumba ni huyu
IMG_0481.jpeg
 
Back
Top Bottom