House4Sale Nyumba inauzwa tabata segerea bei milioni 19

House4Sale Nyumba inauzwa tabata segerea bei milioni 19

dimatteo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
868
Reaction score
932
Habari wana jf,nadhani hi awamu ya tatu hii ni baada ya kukosa mteja wa uhakika na changamoto za hapa na pale.....ila cha kushukuru ni kwamba nyumba mpaka sasa haijapigwa Mnada

SIFA ZA NYUMBA
ukubwa wa kiwanja ni 19 kwa 20
nyumba ina vyumba vitatu,kimoja ni master na ina public toilet,seating room ,jiko kubwa la kupikia,tiles na imezungushiwa ukuta mfupi mfupi

Changamoto iliyopo ni barabara ambayo huingia kwenye hiyo nyumba(ipo kwenye matengenezo soon itakuwa safi)
Mpaka sasa hati ipo bank so kama malipo lazima yafanyike bank ndo hati itolewe bank na ukabidhiwe baada ya taratibu zingine kukamilika

Mawasiliano 0719231499/0754055288
Karibuni tufanye biashara Muda si rafiki tena..Asanteni karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
.....Naomba ambae anataka kuona picha zaidi ni inboox whatsup-0719231499....nilisahau kuweka picha japo ukifuatilia kwa chini huu uzi nimesha zituma ..
 
Habari wana jf,nadhani hi awamu ya tatu hii ni baada ya kukosa mteja wa uhakika na changamoto za hapa na pale.....ila cha kushukuru ni kwamba nyumba mpaka sasa haijapigwa Mnada

SIFA ZA NYUMBA
ukubwa wa kiwanja ni 19 kwa 20
nyumba ina vyumba vitatu,kimoja ni master na ina public toilet,seating room ,jiko kubwa la kupikia,tiles na imezungushiwa ukuta mfupi mfupi

Changamoto iliyopo ni barabara ambayo huingia kwenye hiyo nyumba(ipo kwenye matengenezo soon itakuwa safi)
Mpaka sasa hati ipo bank so kama malipo lazima yafanyike bank ndo hati itolewe bank na ukabidhiwe baada ya taratibu zingine kukamilika

Mawasiliano 0719231499/0754055288
Karibuni tufanye biashara Muda si rafiki tena..Asanteni karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20180827-WA0063.jpeg
IMG-20180827-WA0062.jpeg
IMG-20180827-WA0061.jpeg
IMG-20180827-WA0058.jpeg
IMG-20180827-WA0056.jpeg
IMG-20180827-WA0053.jpeg
IMG-20180827-WA0055.jpeg
Screenshot_2018-08-27-19-18-11-1.png
 
Habari wana jf,nadhani hi awamu ya tatu hii ni baada ya kukosa mteja wa uhakika na changamoto za hapa na pale.....ila cha kushukuru ni kwamba nyumba mpaka sasa haijapigwa Mnada

SIFA ZA NYUMBA
ukubwa wa kiwanja ni 19 kwa 20
nyumba ina vyumba vitatu,kimoja ni master na ina public toilet,seating room ,jiko kubwa la kupikia,tiles na imezungushiwa ukuta mfupi mfupi

Changamoto iliyopo ni barabara ambayo huingia kwenye hiyo nyumba(ipo kwenye matengenezo soon itakuwa safi)
Mpaka sasa hati ipo bank so kama malipo lazima yafanyike bank ndo hati itolewe bank na ukabidhiwe baada ya taratibu zingine kukamilika

Mawasiliano 0719231499/0754055288
Karibuni tufanye biashara Muda si rafiki tena..Asanteni karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
.....Naomba ambae anataka kuona picha zaidi ni inboox whatsup-0719231499....nilisahau kuweka picha japo ukifuatilia kwa chini huu uzi nimesha zituma ..
Bado ipo
 
Kama bado ipo Nyumba hii fanya 15,000,000 na ya udalali akulipe muuzaji maana nina fixed 15 mkuu
 
Ooh ok hizi ndo zile nyumba gari unalaza kwa jirani duh nimeona bei nikajua utapeli style
 
Back
Top Bottom