House4Sale Nyumba inauzwa Tarime Mjini

House4Sale Nyumba inauzwa Tarime Mjini

RORYA79

Senior Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
130
Reaction score
61
Sifa:
Vyumba 3, kimoja ni master.
Sebule kubwa
Jiko na stoo yake
Choo cha wageni
Eneo kubwa na la kutosha,
Unalizia rangi, tiles na ceiling board unaaamia.
Kwa mawasiliano zaidi: 0767077952
Tazama picha zake hapo chini tafadhari.

IMG-20200816-WA0057.jpeg
IMG-20200809-WA0030.jpeg
IMG-20200816-WA0049.jpeg
IMG-20200816-WA0054.jpeg
 
Bei yake ni 50,000,000 maongezi yapo, kumbumbuka mimi ni mwenye nyumba, sio dalali.
 
Unaweza kufanya biashara gn kma kupangisha, hotel, gest au? Toa maelekezo ya eneo husika kwa apo tarime mjini kma unavyosema?
 
Kwa ajili ya kupangisha familia moja kwani ni nyumba inayojitegemea. Hipo maeneo ya Nkende karibu na shule ya msingi kiongozi.
Unaweza kufanya biashara gn kma kupangisha, hotel, gest au? Toa maelekezo ya eneo husika kwa apo tarime mjini kma unavyosema?
 
Kwa ajili ya kupangisha familia moja kwani ni nyumba inayojitegemea. Hipo maeneo ya Nkende karibu na shule ya msingi kiongozi.
Samahani mkuu, mimi sina hela ya kununulia hiyo nyumba. Nilitaka kujua kama wewe ni yupi kata ya huyo aliyepiga picha karibu na nyumba na huyo wa kwenye avatar yako!!
 
Wapendwa wana Tarime, njooni mchukue mjengo huo, ni mjengo wa kiafisa. Bei ni maelewano, piga simu tuzungumze.
 
Back
Top Bottom