House4Sale Nyumba inauzwa,

ngutu

Senior Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
100
Reaction score
67
Nyumba inauzwa ipo mbagala sabasaba kwa mpili bei in sh Million 12 maongezi yapo karibuni sana.
 
Chumba kimoja hapo kinaweza kuchukua ng'ombe wangapi ?

Maana inaonekana itanifaa kwa ufugaji wa ng'ombe
 
sometimes heshima kitu cha bure, mkuu unatuchukuliaje kwamfano! Ushauri wangu bomoa hiyo NYUMBA halafu uje na tangazo la kuuza kiwanja huenda ukamake sense
 
Hebu weka tangazo lako hivi KIWANJA KINAUZWA NA VYUMBA VYAKE. Huenda utanusurika hizi hasira za Wachangiaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…