TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
Mgogoro ni huo muonekano wakeNyumba inauzwa ipo Kigogo Lwanga karibu na shule, dakika moja kufikia ilipo. Zipo nyumba Tatu kwenye kiwanja kimoja.
Inafaa kwa ajili ya kujenga godown kwa wale wafanya biashara.View attachment 2540404
View attachment 2540405
View attachment 2540406
Haina mgogoro na karatasi zote zipo.
Bei Tsh 150,000,000 mazungumzo yapo.
+255714036595 kwa mawasiliano.
nina shaka hata kama gari inafika kwa muonekano wa picha tu.Weka picha ya barabara inayo ingia hapo kama ikija kujengwa ghala
Toa hela hio uchukue mjengoMhhhh!
Angeweka picha za mbele ya jengo, angewavutia matajiri kununua. Sasa huo upande aliopiga picha, naona haujakaa poa hata kidogo.Toa hela hio uchukue mjengo
[emoji1][emoji2][emoji2] kwa mitope na MAZINGIRA HAYO ukimpata hata wa 59M njoo umwagilie moyo hapa MjnNyumba inauzwa ipo Kigogo Lwanga karibu na shule, dakika moja kufikia ilipo. Zipo nyumba Tatu kwenye kiwanja kimoja.
Inafaa kwa ajili ya kujenga godown kwa wale wafanya biashara.View attachment 2540404
View attachment 2540405
View attachment 2540406
Haina mgogoro na karatasi zote zipo.
Bei Tsh 150,000,000 mazungumzo yapo.
+255714036595 kwa mawasiliano.
Amefanya hivyo makusudi..Angeweka picha za mbele ya jengo, angewavutia matajiri kununua. Sasa huo upande aliopiga picha, naona haujakaa poa hata kidogo.
Hicho kiuno ni cha kwako? Mweh!! π[emoji1][emoji2][emoji2] kwa mitope na MAZINGIRA HAYO ukimpata hata wa 59M njoo umwagilie moyo hapa Mjn