Nyumba inauzwa

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,074
Reaction score
308
Ipo kimara Temboni Dar es Salaam, Tanzania. Ina vyumba vitatu vya kulala, (kimojawapo kikiwa masta), ina study room, dinning room, sitting room kubwa, chumba cha kulala kikubwa. Ipo katika uwanja wenye ukubwa wa sqm 2145. Kiwanja kina Tittle Deed. Bei yake sh 200millioni. karibu.









 

Attachments

  • PIC01270.JPG
    26.5 KB · Views: 167
  • PIC01271.JPG
    31.7 KB · Views: 173
  • PIC01273.JPG
    30.1 KB · Views: 162
  • PIC01278.JPG
    49.8 KB · Views: 161
  • PIC01279.JPG
    48.2 KB · Views: 168
Last edited by a moderator:

Hivi bei za nyumba Kimara zimeshafika bei hizi? Itabidi tuhamie kibamba au kibaha sasa!!
Mkuu mimi natafuta kiwanja mbezi beach au Bahari beach. Minimum 1000sqm.
Ukipata ni PM nikupe dili kama tutaelewana!!
 
Huko temboni maji shida. Nyumba bei juu utafikiri kuna huduma bora zinapatikana vile.
 
Mkuu kitomai kwa kweli nyumba ni mzuri saaana,But kwa Temboni bei ni kubwa kidogo hata kama ina Title deed
 
hiyo bei haijakaa sawasawa 200,000mil? nadhani ulikuwa unamaanisha 200mil,
 
Huko temboni maji shida. Nyumba bei juu utafikiri kuna huduma bora zinapatikana vile.
Nadhani una-reflect Temboni ya zamani, nowadays maeneo mengi ya huko yana maji. Waulize walio maeneo hayo.

Mimi nimependa ukubwa wa kiwanja cha nyumba husika, unaweza kukiendeleza ukafanya mambo mengine ya maana sana. Hopefully bei inaweza kupoa
 
he is got every reason to sell the house, kama anaweza kupata 200m kwenye hiyo nyumba kwa nini asiuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…