House4Sale Nyumba ipo Kimara Mwisho inauzwa

House4Sale Nyumba ipo Kimara Mwisho inauzwa

bintishomvi

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
1,164
Reaction score
833
Habari wanajukwaa nauza nyumba ipo kimara mwisho maeneo ya kwamashaka km 4 kutoka barabara ya morogoro road kwa boda bodo ni sh/ 1000 kwa bajajish/500.

Eneo lina upana wa 40 -33 na 40 20 - 33.
Eneo limepimwa Lina namba ya ardhi bado prosses za hati tu.
Nyumba ina master 1 ,vyumba vya kulala 2 Cha 3 ndio master , sebule kubwa sehemu ya kulia chakura ,jiko ,stop,vyoo 2 vya ndani n.k
njoo uione mmiliki ni Mimi mwenyewe.

Tiles nyumba nzima na bati ni msouth madilisha ya glili na vioo vya glass, gypisam nyumba nzima namaanisha roof .

Bei ml 80 maelewano yapo namba ni 0718202286 karibu nauza kwa shida zangu za kibiashara
IMG_20200129_141105_7.jpeg
IMG_20200129_141033_6.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom