bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Habari wanajukwaa nauza nyumba ipo kimara mwisho maeneo ya kwamashaka km 4 kutoka barabara ya morogoro road kwa boda bodo ni sh/ 1000 kwa bajajish/500.
Eneo lina upana wa 40 -33 na 40 20 - 33.
Eneo limepimwa Lina namba ya ardhi bado prosses za hati tu.
Nyumba ina master 1 ,vyumba vya kulala 2 Cha 3 ndio master , sebule kubwa sehemu ya kulia chakura ,jiko ,stop,vyoo 2 vya ndani n.k
njoo uione mmiliki ni Mimi mwenyewe.
Tiles nyumba nzima na bati ni msouth madilisha ya glili na vioo vya glass, gypisam nyumba nzima namaanisha roof .
Bei ml 80 maelewano yapo namba ni 0718202286 karibu nauza kwa shida zangu za kibiashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Eneo lina upana wa 40 -33 na 40 20 - 33.
Eneo limepimwa Lina namba ya ardhi bado prosses za hati tu.
Nyumba ina master 1 ,vyumba vya kulala 2 Cha 3 ndio master , sebule kubwa sehemu ya kulia chakura ,jiko ,stop,vyoo 2 vya ndani n.k
njoo uione mmiliki ni Mimi mwenyewe.
Tiles nyumba nzima na bati ni msouth madilisha ya glili na vioo vya glass, gypisam nyumba nzima namaanisha roof .
Bei ml 80 maelewano yapo namba ni 0718202286 karibu nauza kwa shida zangu za kibiashara
Sent using Jamii Forums mobile app