Keco Group ltd
Member
- Oct 3, 2020
- 13
- 2
kwanini mkuu..hebu fungukaNakuambia ukweli, uchukue au ufurahj
HUWEZI KUUZA NYUMBA MIL 90 HUKO CHAMAZI.
Bila kupepesa macho, hiyo si zaidi ya mil 40
Chamazi?? Huko ni kwa waswahili, sasa nyumba ya kwa waswahili unawezaje kununua mil 90??? Hiyo bei atleast ingekuwa huko kimara, bunju, tabata, kinyerezi n.kkwanini mkuu..hebu funguka
Huko Kimara na Tabata na Kinyerezi wanaishi wazungu wa bara lipi?Chamazi?? Huko ni kwa waswahili, sasa nyumba ya kwa waswahili unawezaje kununua mil 90??? Hiyo bei atleast ingekuwa huko kimara, bunju, tabata, kinyerezi n.k
Hapo inaonyesha umeshaelewa nilichosemaHuko Kimara na Tabata na Kinyerezi wanaishi wazungu wa bara lipi?
Sijaelewa kabisa ndiyo maana naomba ufafanuzi?Hapo inaonyesha umeshaelewa nilichosema