Nyumba kama hii naweza jenga kwa shilingi ngapi?

Nyumba kama hii naweza jenga kwa shilingi ngapi?

Consolata2000

Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
40
Reaction score
4
Mambozz

kwa wenye utalamu wa ujenzi, nyumba kama hii naweza jenga kwa shilingi ngapi? Kiwanja ninacho kibaha na nataka niijenge kwa kutumia vifaa vya bei ya chini kama mabati yale ya rangi, sio gypsum, tiles za chini za kawaida n.k. Nyumba hiyo ina vyumba 4 vya kulala.

kerala-style-home.jpg
 
unajua hiyo ni kazi ya watu kuthaminisha majengo na wameisomea miaka minne vyuoni afu wewe unaleta tu uzi wako hapa..ila naweza tokea mtu mwenye msaada..watakujana.
 
andaa kama 150+mil, sio chini ya hapo....
 
Anza ujenzi sasa, weka rekodi ya kila senti utakayotumia, ikikamilika jumlisha na utajua gharama halisi la huu mjengo!! Upo hapo...!!??
 
Safi sana nyumba nzuri imetulia saana na mie ngoja niicopy hii imagination nitakuja kujenga siku moja tu naweka malengo tu
 
Mambozz

kwa wenye utalamu wa ujenzi, nyumba kama hii naweza jenga kwa shilingi ngapi? Kiwanja ninacho kibaha na nataka niijenge kwa kutumia vifaa vya bei ya chini kama mabati yale ya rangi, sio gypsum, tiles za chini za kawaida n.k. Nyumba hiyo ina vyumba 4 vya kulala.

kerala-style-home.jpg



Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom