Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Miss Natafuta we nomer, umeamua kuwa dalali mtu wangu? Hongera sana.karibu ni sana kwa mahitanji ya
nyumba za kupanga
kununua au kuuza viwanja
kununua au kuuza nyumba office ipo hakuna ubabaishaji wala utapeli
piga simu Call Us:+255 755-181222.
tembelea hapa kila siku tunaweka vitu vipya Call Us:+255 755-181222. Emailinfo@bryanstonproperties .https://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0ahUKEwiKjfuyl5HQAhWGExoKHcmnDt8QFgg_MAA&url=http://www.bryanstonproperties.co.tz/&usg=AFQjCNEEkkKTURKJ6I6ohXqwyO7t4BLNLg&sig2=6zROT5sng219MEm_6Nk-hQ&bvm=bv.137904068,d.d2s
mimi sio dalali mkuu tuna kampuni kabisa imesajiliwa karibu officini kwetu tukuhudumie ufurahiMiss Natafuta we nomer, umeamua kuwa dalali mtu wangu? Hongera sana.
Ahaaa, kumbe mna majengo yenu kabisa? Nilijua ni nyie ni broakers...ntakaribia mkuu, ntahitaji apartment ya vyumba viwili kkoo kuanzia may next year.mimi sio dalali mkuu tuna kampuni kabisa imesajiliwa karibu officini kwetu tukuhudumie ufurahi
ni broker ila in a professional wayAhaaa, kumbe mna majengo yenu kabisa? Nilijua ni nyie ni broakers...ntakaribia mkuu, ntahitaji apartment ya vyumba viwili kkoo kuanzia may next year.
Good, Broaker ndiyo Dalali mkuu. Nitawatafuta.ni broker ila in a professional way
cheki website yetu tuna office hadi risit za mashine tunatoa
karibu sana mkuuGood, Broaker ndiyo Dalali mkuu. Nitawatafuta.
umesema tuna kampuni it means ni yenu au wewe ni mfanyakazi?mimi sio dalali mkuu tuna kampuni kabisa imesajiliwa karibu officini kwetu tukuhudumie ufurahi
shida yako ni nini mkuu?umesema tuna kampuni it means ni yenu au wewe ni mfanyakazi?
umesema tuna kampuni it means ni yenu au wewe ni mfanyakazi?
hao wasiliana nao mkuuVyumba ktk nyumba za NHC vinapatikana?
watu wengine hawapo fair mkuuDuh! Maswali mengine kweli yanachosha! Pole Miss Natafuta kwa kuongezewa njaa!
Kawaida mkuu, kwenye biashara kuna challenge nyingi!watu wengine hawapo fair mkuu