House4Sale Nyumba KUBWA, Mabanda ya Uwani mabanda ya Kuku na eneo la wazi vinauzwa kwa Pamoja

NANGAI MSUMI

Senior Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
146
Reaction score
94
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo.

Simu.0652180400


 
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo.

Simu.0652180400


View attachment 2257065
Jamani hii nyumba ndio iwe milioni 200? Punguza bei kidogo. Hata kama iko Masaki, hiyo bei ni kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…