Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Nyumba ni nzuri na ya kisasa, kila kitu kipo kinachofanya iitwe ya kisasa, uzio mkubwa na amani kwa sana, vyumba vitatu vya kulala kimoja master, jiko kubwa lenye makabati, dining, sebule kubwa, pia ina bustani kubwa na nzuru ya maua, bila kusahau standby Generator umeme ukikatika goma linajiwasha, pia nyumba ina mabanda makubwa ya kuku kama unataka unafuga kikubwa uwe msafi, bei ni 500,000 kwa mwezi na inalipwa kwa miezi 6:
Kama utahitaji nichek kwa 0684448888 au 0713415537
Pia wanaohitachi chumba, nyumba nyingeni karibuni pitieni hapo chini!
Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi - JamiiForums
Kama utahitaji nichek kwa 0684448888 au 0713415537
Pia wanaohitachi chumba, nyumba nyingeni karibuni pitieni hapo chini!
Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi - JamiiForums