Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala kimoja master, sebule na jiko, ni nzuri na ya kisasa, ni mpya haijawahi ishi mtu, ipo kimara mwisho umbali wa 1.8 km kutoka morogoro road, nyumba zipo tatu ndani ya uzio na kila moja inajitegemea maji na umeme, maji ya dawasco yapo! Kodi ni 250,000 kwa mwezi na ilipwe kwa miezi 6.
kama itakuvutia nicheki kwa 0684448888 au 0713415537
pia sio hizo tu zipo nyungine karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
kama itakuvutia nicheki kwa 0684448888 au 0713415537
pia sio hizo tu zipo nyungine karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app