HaaaaaaaaahaaaaaaVijumba vizuri. Jamani kujenga nyumba kama hiyo moja ni milioni ngapi?
I'm serious. Nyumba kama hiyo kwa kukisia tu ni milioni ngapi?
Kuna jamaa kasema kwenye uzi fulani kuwa kajenga chumba na seble kibaha kwa 12mI'm serious. Nyumba kama hiyo kwa kukisia tu ni milioni ngapi?
Nyumba waweza ziona hata 3 kwa nje zikafanana hvyo ila ndani nakshi zke zikawa tofauti so ni ngumu kutaja actual cost ila kwa makadirio naweza sema andaa jpo 35ml!I'm serious. Nyumba kama hiyo kwa kukisia tu ni milioni ngapi?
Poa mkuu ila namba ipo kwenye tangazo langu mkuuHakuna ya kodi 150k mpaka 200k....natafuta nyumba mkuu nipm namba yako!!
Sent using Nokia Torch 2108
Sawa nimechukua ...nitakucheck bossPoa mkuu ila namba ipo kwenye tangazo langu mkuu