dodoma real estates
Member
- Jan 18, 2017
- 77
- 12
Awamu hii lazima tushike adabu, kama nyumba inafikia hapo mtu anakosa pumzi ya kumalizia.
Inasikitisha
Kila la kheri upate mnunuzi
Ni za biashara mkuuSio kila wakati inaweza kuwa hivyo !! Wengine hiyo ni mojawapo ya biashara !!!
Nyumba zina vibali vyote mkuuhati miliki ya hizo nyumba zipo?
Ujatamka Vitu muhimu kama vyumba vingapi,choo,master,hatiSallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji finishing tuu ..nyumba moja ina fence na nyingine haina fence..milango na grill yamewekwa bati msouth..ukubwa wa viwanja ni 30*20..bei ni million 40 kwa yenye fence na million 35 haina
fence..kwa maelezo 0714140579
View attachment 487041View attachment 487042View attachment 487043View attachment 487044View attachment 487045View attachment 487046View attachment 487047View attachment 487048View attachment 487049
kaka hiyo ni biashara siku hizi yeye kama katumia 25M akikuuzia 35 anahasara gani, fikiri kibiashara zaidiAwamu hii lazima tushike adabu, kama nyumba inafikia hapo mtu anakosa pumzi ya kumalizia.
Inasikitisha
Kila la kheri upate mnunuzi
kamata 20milSallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji finishing tuu ..nyumba moja ina fence na nyingine haina fence..milango na grill yamewekwa bati msouth..ukubwa wa viwanja ni 30*20..bei ni million 40 kwa yenye fence na million 35 haina
fence..kwa maelezo 0714140579
View attachment 487041View attachment 487042View attachment 487043View attachment 487044View attachment 487045View attachment 487046View attachment 487047View attachment 487048View attachment 487049
Haina maslai mkubwakamata 20mil
punguza bei pia mkuu, wabongo hatujazoea kununua kwa bei uliyoitaja hiyo hiyoHaina maslai mkubwa
kamata 25M bossSallam wakuu..poleni na majukumu ya wiki..tumerudi tena na mzigo mwingine wa nyumba.Nyumba zipo kisasa dodoma na Area D Dodoma mjini barabara..maji. na umeme ni uhakika na nyumba zina hitaji finishing tuu ..nyumba moja ina fence na nyingine haina fence..milango na grill yamewekwa bati msouth..ukubwa wa viwanja ni 30*20..bei ni million 40 kwa yenye fence na million 35 haina
fence..kwa maelezo 0714140579
View attachment 487041View attachment 487042View attachment 487043View attachment 487044View attachment 487045View attachment 487046View attachment 487047View attachment 487048View attachment 487049
Mkuu una panda mpaka ngapi tufanye biasharapunguza bei pia mkuu, wabongo hatujazoea kununua kwa bei uliyoitaja hiyo hiyo
25 kwa ambayo haina fence mkubwa au ?kamata 25M boss
Kuna mahali amesema amekosa pumzi ya kumalizia?Awamu hii lazima tushike adabu, kama nyumba inafikia hapo mtu anakosa pumzi ya kumalizia.
Inasikitisha
Kila la kheri upate mnunuzi
25 kwa ambayo haina fence mkubwa au ?
Ncheck 0714140579 tuyajenge ndugu
ukimalizana na hao kama si serious buyers njoo kwanguNcheck 0714140579 tuyajenge ndugu