EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,565
- 1,918
Nyumba yenye chumba cha kulala, sitting room, choo, jiko imepauliwa nusu na kuna mtu anaishi kwa uangalizi ikiwa na eneo la heka nne, inauzwa mil.15.
MAJI, MCHANGA, KOKOTO, MAWE VIPO VYA KUTOSHA, ni mpakani mwa kibaha na kisarawe na ni center barabarani, si pori eneo unaweza kuwekeza maduka,zahanati,makazi nk.
Barabara inapta toka kongowe ya kibaha mpaka chanika,kisarawe moja kwa moja, kutoka hapo kongowe ya kibaha mpaka huku kwa pikipiki unatumia lita moja tu..
PIGA 0764726071 AU 0624078252
MAJI, MCHANGA, KOKOTO, MAWE VIPO VYA KUTOSHA, ni mpakani mwa kibaha na kisarawe na ni center barabarani, si pori eneo unaweza kuwekeza maduka,zahanati,makazi nk.
Barabara inapta toka kongowe ya kibaha mpaka chanika,kisarawe moja kwa moja, kutoka hapo kongowe ya kibaha mpaka huku kwa pikipiki unatumia lita moja tu..
PIGA 0764726071 AU 0624078252


