Habarini wanafamilia wenzangu wa Jamii forums, bila shaka ni wazima na mnaendelea vizuri na majukumu ya kulijenga Taifa letu.
Kama tangazo linavyojieleza hapo juu, nyumba ina jumla ya vyumba 3 vya kulala na choo, iko kwenye uwanja wenye ukubwa wa 29 * 25 Na 23 * 21 jirani na STAND YA MADALE MWISHO. Eneo halina mgogoro wowote na linatambuliwa na serikali ya mtaa.
Bei ni Tsh 13,500,000/= mazungumzo yapo kidogo kwa wale walio-serious na biashara hii. Huduma zote za msingi zipo kama vile umeme, maji, barabara na huduma za kifedha.
Ukitokea kiwanda cha saruji Wazo unapita Mivumoni mpaka kituo cha daladala zinapogeuzia.
Kwa mawasiliano +255 742 15 61 17.
Kama tangazo linavyojieleza hapo juu, nyumba ina jumla ya vyumba 3 vya kulala na choo, iko kwenye uwanja wenye ukubwa wa 29 * 25 Na 23 * 21 jirani na STAND YA MADALE MWISHO. Eneo halina mgogoro wowote na linatambuliwa na serikali ya mtaa.
Bei ni Tsh 13,500,000/= mazungumzo yapo kidogo kwa wale walio-serious na biashara hii. Huduma zote za msingi zipo kama vile umeme, maji, barabara na huduma za kifedha.
Ukitokea kiwanda cha saruji Wazo unapita Mivumoni mpaka kituo cha daladala zinapogeuzia.
Kwa mawasiliano +255 742 15 61 17.