House4Rent Nyumba nzima inapangishwa dodoma mjini

Joined
Jan 18, 2017
Posts
77
Reaction score
12
Salaam wana jamvi..nitumai mu wazima..nyumba nzima inapatikana dodoma mjini mteja wa haraka sana..nyumba ina vyumba vinne vitatu master kimoja cha kawaida..sebule moja..dinning room moja..jiko na store.. ina fence..ina parking kubwa ya nje na moja ya ndani..umeme na maji pamoja na peving..tiles na gypsum board..feni nk..
kodi kwa mwezi ni 350000tshs ina taka kuanzia miezi mitatu..
Mawasiliano 0714140579
 
Mmmh ikikosa mteja me ntakuja kukulindia isipate buibui
 
nyumba nzuri na bei nzuri.. watumishi wa serikali wanaokuja dodoma wataichukua... ingekuwa dar hiyo na eneo zuri fasta umeshapangisha hata kwa 500,000
 
aisee, unanfanya nishindwe malizia nyumba yangu!

Kwa uzuri woote huo unapangishwa kwa 350,000! Dah, ngoja ninunue viwanja tu hapo dom ntaviuzaga baadae
 
kama unajenga kwa ajili ya kuishi malizia nyumba yako mkuu kama kwa ajili ya kupangisha.. bora hela uwekeze kwenye viwanja biashara ya kupangisha nyumba inalipa pole pole sana.. inaweza fika hata miaka 20 bado hujarudisha hela

aisee, unanfanya nishindwe malizia nyumba yangu!

Kwa uzuri woote huo unapangishwa kwa 350,000! Dah, ngoja ninunue viwanja tu hapo dom ntaviuzaga baadae
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni hivii tu[emoji475] [emoji475] [emoji475] [emoji475] [emoji475] [emoji475] [emoji475]

Wapenda bure haooo
Ulijuajeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…