Mlemi
Senior Member
- Mar 24, 2017
- 161
- 91
Nyumba ipo Bomangombe Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro Ngalawa Road, nyumba bado ni mpya na ina room nne za kulala. Ambazo mbili ni master, ina sebule kubwa, jiko, stoo pamoja na dining.
Bei yake ni 90,000,000/= tu. Bei ni fixed. Kama unahitaji hii Nyumba Piga Simu 0757252165.
Bei yake ni 90,000,000/= tu. Bei ni fixed. Kama unahitaji hii Nyumba Piga Simu 0757252165.