House4Sale Nyumba nzuri sana inauzwa

House4Sale Nyumba nzuri sana inauzwa

Mlemi

Senior Member
Joined
Mar 24, 2017
Posts
161
Reaction score
91
Nyumba ipo Bomangombe Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro Ngalawa Road, nyumba bado ni mpya na ina room nne za kulala. Ambazo mbili ni master, ina sebule kubwa, jiko, stoo pamoja na dining.

Bei yake ni 90,000,000/= tu. Bei ni fixed. Kama unahitaji hii Nyumba Piga Simu 0757252165.

1614155580750.png
 
Mlemi ingefaa sana km ungesema iko mkoa gani na ungetuwekea picha zake. Ni Ushauri Tu Ila Mimi kwa Sasa hivi Sina hela Mambo yangu hayajakaa sawa bado.
 
Mleta uzi ni kama umepagawa vileee yaan hujajitosheleza kweny kila mahali katika maelezo yako. Ili watu wasikutulie shaka jaribu kutulia ulete taarifa kamili juu ya Mali unayouza
 
Back
Top Bottom