sure unless kuna madalali humu otherwise itasumbua kidogoHabar nzuri mkuu.
Aluu cha muhim tafuta dalali wa eneo husika unless upate m2 dalali wa kujib hii thread yako ambae ni mwana jf.
Nilihangaika kupata nyumba na hawa madalal but nashkur nshapata sasa. Nliweka nami tangazo hapa jf ikawa haikusaidia; ndo maana nkakushaur km hapo juu.
Pili hawajamaa watakuzungusha kukuonesha nyumba na kila wakikupeleka kuona unawapa kuanzia buku 5.
Hii ni mizunguko inayochosha na inakua vizur anaetaka nyumba ndiye azunguke na dalali nikimaanisha jamaa yako inabid aje mwenyewe kufanya iyo kazi unless wewe una mda huo na utakchopenda wewe na yeye atapenda ndo unaweza msaidia kuzunguka huyo jamaa ako.
Ni ushaur 2.
Thanx
mimi najua Nyumba Ipo Kirumba Mwanza wasiliana na 0712449541
Habar nzuri mkuu.
Aluu cha muhim tafuta dalali wa eneo husika unless upate m2 dalali wa kujib hii thread yako ambae ni mwana jf.
Nilihangaika kupata nyumba na hawa madalal but nashkur nshapata sasa. Nliweka nami tangazo hapa jf ikawa haikusaidia; ndo maana nkakushaur km hapo juu.
Pili hawajamaa watakuzungusha kukuonesha nyumba na kila wakikupeleka kuona unawapa kuanzia buku 5.
Hii ni mizunguko inayochosha na inakua vizur anaetaka nyumba ndiye azunguke na dalali nikimaanisha jamaa yako inabid aje mwenyewe kufanya iyo kazi unless wewe una mda huo na utakchopenda wewe na yeye atapenda ndo unaweza msaidia kuzunguka huyo jamaa ako.
Ni ushaur 2.
Thanx