Nyumba ya 150,000,000 iliyojengwa kwa tozo hongereni CCM

Nyumba ya 150,000,000 iliyojengwa kwa tozo hongereni CCM

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Baada ya jamaa kule kupiga mamilioni huku tutizame nyumba ya Mkurugenzi ya mamilioni ya tozo za watanzania

8E9DF059-10B9-4F2F-AFAC-8B9AE6D3ED73.jpeg
 
Nguruwe pori wamevamia shamba la miwa.. Ccm ni balaa
 
Tofali za kuchoma afu M150[emoji23][emoji23][emoji23]

2025 tusiwe wa Ngese
Hata ukipiga Kula CCM ikashindwa kwenye box la Kula NAKUHAKIKISHIA Bado CCM atatangazwa ameshinda, ACHA NCHI ILIWE


Mpaka Sasa hakuna chama Cha upinzani chenye uwezo wa kuongoza nchi.


Vijana fanyeni kazi tutakuja kukusanya kodi tutagawana kadri ya uwezo wetu.
 
CCM tunawadekeza sana. Hawa wanatakiwa kuwa jela saa hizi. Hapo hata milioni 30 hazifiki.
 
Hata ukipiga Kula CCM ikashindwa kwenye box la Kula NAKUHAKIKISHIA Bado CCM atatangazwa ameshinda, ACHA NCHI ILIWE


Mpaka Sasa hakuna chama Cha upinzani chenye uwezo wa kuongoza nchi.


Vijana fanyeni kazi tutakuja kukusanya kodi tutagawana kadri ya uwezo wetu.

Kwenye mambo ya CCM usipende kuiingiza upinzani.
 
Mnapoteza muda kuwatetea watu wanaoitwa Watanzania. Hawajawahi kujielewa.
 
Huu ni wakati wa mavuno hivyo vuneni kadri muwezavyo maana hatuna uhakika na msimu ujao.
 
Back
Top Bottom