Playman Member Joined Jan 1, 2021 Posts 67 Reaction score 18 Mar 26, 2021 #1 Eneo: Skaska( Kituo Kimoja kabla ya Kufika Tegeta) Uelekeo: Umbali wa dakika 7 kwa kutembea Kutoka kituoni Bei: Tshs 200,000 Kwa Mwezi Malipo: Miezi 6 Ina Chumba Kimoja, Sebule, Choo ndani na jiko. Karibu: 0742141467
Eneo: Skaska( Kituo Kimoja kabla ya Kufika Tegeta) Uelekeo: Umbali wa dakika 7 kwa kutembea Kutoka kituoni Bei: Tshs 200,000 Kwa Mwezi Malipo: Miezi 6 Ina Chumba Kimoja, Sebule, Choo ndani na jiko. Karibu: 0742141467
D Daddi JF-Expert Member Joined Jan 6, 2017 Posts 890 Reaction score 1,395 Mar 26, 2021 #2 Pazuri utapata mteja soon.
Playman Member Joined Jan 1, 2021 Posts 67 Reaction score 18 Mar 26, 2021 Thread starter #3 MUNDENDE said: Pazuri utapata mteja soon. Click to expand... Pamoja mkuu
L Lihove2 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 3,545 Reaction score 6,512 Mar 26, 2021 #4 Mbona bei ndogo?Duu biashara ya nyumba inahitaji moyo,uwekezaji huo wote ambao ungenunua daladala hiyo ungeipata kwa siku au mbili hivi tu
Mbona bei ndogo?Duu biashara ya nyumba inahitaji moyo,uwekezaji huo wote ambao ungenunua daladala hiyo ungeipata kwa siku au mbili hivi tu
ujoka JF-Expert Member Joined Nov 27, 2014 Posts 4,792 Reaction score 11,295 Mar 26, 2021 #5 Lihove2 said: Mbona bei ndogo?Duu biashara ya nyumba inahitaji moyo,uwekezaji huo wote ambao ungenunua daladala hiyo ungeipata kwa siku au mbili hivi tu Click to expand... Chumba na seble unataka ngapi mkuu ? Hio 200 yenyewe tia maji tia maji ingekua prime area kama mikocheni au masaki ndio tungesema hela ndogo
Lihove2 said: Mbona bei ndogo?Duu biashara ya nyumba inahitaji moyo,uwekezaji huo wote ambao ungenunua daladala hiyo ungeipata kwa siku au mbili hivi tu Click to expand... Chumba na seble unataka ngapi mkuu ? Hio 200 yenyewe tia maji tia maji ingekua prime area kama mikocheni au masaki ndio tungesema hela ndogo