Nyumba ya Dr. Reginald Mengi kudaiwa kuwa itabomolewa

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hellow,

Kuna habari nimeziona toka kwenye blogs eti nyumba ya Dr Mengi iko kwenye hati hati ya kubomolewa, je kuna ukweli wowote juu ya hili? Au ni rumors tu...
 
Hizo ni rumors tuu hakuna kitu kama hicho
 
Hellow,

Kuna habari nimeziona toka kwenye blogs eti nyumba ya Dr Mengi iko kwenye hati hati ya kubomolewa, je kuna ukweli wowote juu ya hili? Au ni rumors tu...
Yani wewe una okoteza habari halafu unakuja kuuliza? nilitegemea hii iwe habari na si maswali tena! hizo habari umezipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…