MagariTanzania Member Joined Feb 27, 2021 Posts 12 Reaction score 5 Mar 18, 2021 #1 Nyumba ina muonekano wa kuvutia, Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitosheleza ( Masta bedroom), subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Bei TZS -210milioni. Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! Wahi nyumba hii sasa. Mawasiliano 0784225000
Nyumba ina muonekano wa kuvutia, Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitosheleza ( Masta bedroom), subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote. Bei TZS -210milioni. Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! Wahi nyumba hii sasa. Mawasiliano 0784225000
mpatto JF-Expert Member Joined Apr 28, 2017 Posts 766 Reaction score 1,031 Mar 18, 2021 #2 "DM for price is not a price!"
PROF NDUMILAKUWILI JF-Expert Member Joined Mar 25, 2016 Posts 10,518 Reaction score 13,144 Mar 18, 2021 #3 Mwonekano wa nje mbona hakuna?
N ngalanga JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,782 Reaction score 1,887 Mar 18, 2021 #4 Leta na mwonekano wa nje