KERO Nyumba ya Ibada iliyo karibu na Kituo cha Afya ZAMZAM katika Manispaa ya Bukoba ni KERO kwa wagonjwa

KERO Nyumba ya Ibada iliyo karibu na Kituo cha Afya ZAMZAM katika Manispaa ya Bukoba ni KERO kwa wagonjwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hii imekuwa kero kubwa hasa katika kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba ambapo jirani na kituo hicho Kuna Kanisa ambalo mara nyingi zinapigwa Ngoma hali inayosababisha usumbufu kwa wagonjwa.

Mamlaka zinapaswa kuingilia kati hali sio nzuri kwani usumbufu ni mwingi sana kwa wagonjwa wanaolazwa kwenye kituo hicho kutokana na kelele za ngoma.
 
YAN KANISANI ZINAGOGWA GOMAAAA?

INA MAANA NI GOMA HIZI ZA MUJIKI AU ZILE GOMA ZA GOZIII?
 
Siku hizi makanisani watu wanakula sebene mpaka kijasho kinawatoka.
 
HIi kero anzia serikali za mitaa,mkar chini katia ya kanisa na kituo cha afya muyajenge.
 
Kanisa hilo livunjwe haraka kabla kapu la sadaka halijanyanyuliwa jumamosi/jpili ijayo.
 
Hii imekuwa kero kubwa hasa katika kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba ambapo jirani na kituo hicho Kuna Kanisa ambalo mara nyingi zinapigwa Ngoma hali inayosababisha usumbufu kwa wagonjwa.

Mamlaka zinapaswa kuingilia kati hali sio nzuri kwani usumbufu ni mwingi sana kwa wagonjwa wanaolazwa kwenye kituo hicho kutokana na kelele za ngoma.
Ibada haina kerooo kaka wahame wagonjwa
 
Vipi adhana,au haizisikiki kabisa kwa wagonjwa mtaani hapo??
 
Uwe na uhakika na unachosema wewe ila kama ni chuki zako basi utavimba huo mdomo
Sina chuki yoyote, siishi huko lakini nimesoma hapo shule ya msingi kuanzia miaka ya 80 na ilikuwa mitaa yangu Sana tu
 
Back
Top Bottom