A
Kituo kimekuwepo Kwa miaka mingi kabla ya kanisaKati ya hilo kanisa na kituo nani kamkuta mwenzie?
Hili jina la kituo, halafu malalamiko ni kuhusu kanisa kuna tatizo hapo
Mkuu Kanisa hilo linaitwaje, na unaweza kukumbuka limejengwa miaka gani?Kituo kimekuwepo Kwa miaka mingi kabla ya kanisa
Ninachojua hiyo hospitali imekuwepo hapo bila kuwepo kanisa.Mkuu Kanisa hilo linaitwaje, na unaweza kukumbuka limejengwa miaka gani?
Hapo busara ni uongozi wa kituo kuongea na kanisa waweke vizuia sautiKituo kimekuwepo Kwa miaka mingi kabla ya kanisa
Ibada haina kerooo kaka wahame wagonjwaHii imekuwa kero kubwa hasa katika kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba ambapo jirani na kituo hicho Kuna Kanisa ambalo mara nyingi zinapigwa Ngoma hali inayosababisha usumbufu kwa wagonjwa.
Mamlaka zinapaswa kuingilia kati hali sio nzuri kwani usumbufu ni mwingi sana kwa wagonjwa wanaolazwa kwenye kituo hicho kutokana na kelele za ngoma.
Uwe na uhakika na unachosema wewe ila kama ni chuki zako basi utavimba huo mdomoNinachojua hiyo hospitali imekuwepo hapo bila kuwepo kanisa.
Kanisa la mwaka gani, sijui
Sina chuki yoyote, siishi huko lakini nimesoma hapo shule ya msingi kuanzia miaka ya 80 na ilikuwa mitaa yangu Sana tuUwe na uhakika na unachosema wewe ila kama ni chuki zako basi utavimba huo mdomo
Wewe ni din gani?Sina chuki yoyote, siishi huko lakini nimesoma hapo shule ya msingi kuanzia miaka ya 80 na ilikuwa mitaa yangu Sana tu
IrrelevantWewe ni din gani?