Hakukuwa na ulazima wowote wa kupost mitandaoni kutujulisha kwamba amekumbwa na mafuriko, pamoja na exposure aliyonayo bado anakuwa na tabia za kishamba hivyooo
Au ameogopa itapostiwa kinyemela maana bidada kwa kujistukia hajamboYeye kama Staa alitaka kuwaonyesha watu kuwa hata yeye muke ya millionaire kakumbwa na maafa hayo ambayo yaliwaacha mamia ya watanzania homeless , ni kama tu alitaka kuwafariji kuwa hawako peke yao kwenye janga hilo , nadhani kafanya sahihi ukizingatia yeye ni mwanaharakati, na wasije kusema alihamisha mali za marehemu au kauza, watu wajionee live kilichomkuta, everything is calculated, hajakurupuka, si unajua tena mali za watu , wanazengo hawacheleweshi kuyazua
Yeye kama Staa alitaka kuwaonyesha watu kuwa hata yeye muke ya millionaire kakumbwa na maafa hayo ambayo yaliwaacha mamia ya watanzania homeless , ni kama tu alitaka kuwafariji kuwa hawako peke yao kwenye janga hilo , nadhani kafanya sahihi ukizingatia yeye ni mwanaharakati, na wasije kusema alihamisha mali za marehemu au kauza, watu wajionee live kilichomkuta, everything is calculated, hajakurupuka, si unajua tena mali za watu , wanazengo hawacheleweshi kuyazua
Maisha gani sasa hayo?[emoji848][emoji848]Mali za mzee , Ali ogopa asije ambiwa kahamisha au kuuza vitu
Kwanini tycoon late Mengi akajenga hapo?Nyumba iko kwenye mkondo wa maji
Zamani maeneo yote yalikuwa kuna mikoko
Hiyo boda tushalipita sana kwa miguu utotoni
Ilikuwa mikoko mitupu sasa maji Kuja hapo hata sishangai
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kila mwaka yanaingia humo ila ilikuwa no kupost before tycoon deathKama ni staa kwako usidhani kuwa kila mtu anamuona hivyo; watu wana mambo ya muhimu kufanya kuliko kumfikiria huyo mwanamke!!
Hapo wanawake mjifunze ukweli kuwa bila kuwepo mwanaume hamtoboi; alipokuwepo mwenyewe mbona hayo mafuriko hayakuingia ndani?
No mafuriko mule ni home kwake, sema slyqueen kipindi kile mzee akiwa hai asingeweza kupost, tungemchambaDuuh! Haya mafuriko nayo! Yamesuburi mzee ameenda ndio yameeanza kumsumbua mjane!
Nyumba mali ya ipp,mpka wakurugenzi waamueMarehemu alikuwa anajilia Pesa ya Bima kila Mafuriko yakitokea kwani hakuwa akilijua hilo? last mafuriko pengine alikuwa hajaolewa.... hiyo Nyumba hapo ilipo karibu na Msimbazi Creek marufiko ni kama kwake... akakate tu bima ubahiri... Me naona michupa ya Mvinyo tu hapo