House4Rent Nyumba ya kisasa inapangishwa Tegeta Masaiti Dar es salaam

House4Rent Nyumba ya kisasa inapangishwa Tegeta Masaiti Dar es salaam

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Nyumba ipo peke yake kwenye uzio, ina eneo kubwa na bustani!

Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja ni master, nina, sifa zake ni nyumba za kisasa, waweza ona picha! mazingira ni safi na maji ya dawasco yapo! Mjengo ni wa maana!

kodi 1M kwa mwezi
na ilipwe kwa miezi 6

ukivutiwa nichek kwa 0684448888

20181205_113944.jpeg
20181205_113717.jpeg
20181205_113737.jpeg
20181205_113902.jpeg
20181205_113837.jpeg
20181205_113803.jpeg
 
du mkuu halafu nakuja nausingizi wangu au naukuta humo ndani?? bei balaa
Ni kweli! ila nyumba nayo ni nalaa, pia tupo tofauti kwa wengine ipo juu ila kwa wengine ni kawaida sana!
 
Nyumba ipo peke yake kwenye uzio, ina eneo kubwa na bustani!

Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja ni master, nina, sifa zake ni nyumba za kisasa, waweza ona picha! mazingira ni safi na maji ya dawasco yapo! Mjengo ni wa maana!

kodi 1M kwa mwezi
na ilipwe kwa miezi 6

ukivutiwa nichek kwa 0684448888

View attachment 956681View attachment 956682View attachment 956683View attachment 956684View attachment 956685View attachment 956687
Kodi milioni ngapi kwa mwezi? Nakunya hapa
 
Back
Top Bottom