du mkuu halafu nakuja nausingizi wangu au naukuta humo ndani?? bei balaa600,000
Hukua mzigo huu mkuuView attachment 956747
Ushaongeza mara hii?Hiyo nyumba ni 1M mkuu sio 600k
Ipo 16mIpo chanika, bei ni 30m
Kodi milioni ngapi kwa mwezi? Nakunya hapaNyumba ipo peke yake kwenye uzio, ina eneo kubwa na bustani!
Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja ni master, nina, sifa zake ni nyumba za kisasa, waweza ona picha! mazingira ni safi na maji ya dawasco yapo! Mjengo ni wa maana!
kodi 1M kwa mwezi
na ilipwe kwa miezi 6
ukivutiwa nichek kwa 0684448888
View attachment 956681View attachment 956682View attachment 956683View attachment 956684View attachment 956685View attachment 956687