Nyumba ya kisasa inauzwa

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,074
Reaction score
308
Ipo kimara Stop Over mita chache kutoka barabara kuu-Morogoro road. Ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa self contained, sebure kubwa, jiko na dinning. Ina Hati Miliki. Bei 125mil. Piga simu 0784225000 au tembelea Property & Real Estate Tanzania.
 

Attachments

  • DSC06967.JPG
    36.3 KB · Views: 237
  • DSC06961.JPG
    36.6 KB · Views: 170
  • DSC06963.JPG
    45 KB · Views: 176
  • DSC06962.JPG
    31.8 KB · Views: 170
  • DSC06960.JPG
    46.9 KB · Views: 180
  • DSC06959.JPG
    38.9 KB · Views: 204
  • DSC06965.jpg
    20.9 KB · Views: 159
Kitomai,
Kwanza nyumba hiyo umeanza kutuonyesha picha ya uwani kuna mabakuli, nguo chafu, duh.
Pili,huyo mwenye nyumba jamani rangi za swimming pool?
Anyway, ni nyumba nzuri kiasi.
 
Mbona hilo dogo. Ukinunua unapaka rangi ya timu yako ya english footbal.
 
Hamna hata garden??Ni nzuri kiasi ila haivutii!
 
Kitomai,
Pili,huyo mwenye nyumba jamani rangi za swimming pool?
.

Du wabongo mnaongea saaana, hilo dongo ulilompiga nimecheka sana, kwamba kapaka rangi za swimming pool!! teh teh teh teh

Anyway, labda alitaka kumetisha na rangi ya bati..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…