Gharama za nyumba ya kupangisha huko zikoje??
Wewe unataka kujenga nyumba yenye ubora wa kupangisha bei gani?
Hapo unalipa kodi bei gani??
UShauri kama unaweza kufanya biashara nyingne nje na nyumba ya kupangisha nakushauri fanya
Kwasababu faida ya nyumba ya kupangisha haiwi kubwa sana na siyo ya haraka pia