Nyumba ya kuishi Dodoma

Nyumba ya kuishi Dodoma

Gigymomo

Member
Joined
Oct 28, 2020
Posts
16
Reaction score
30
Habari ndugu wana jukwaa, naomba kwa wazoefu wa Dodoma hasa maeneo ya Chidachi, Makulu, Mkonze na Kikuyu, mnisaidie natafuta nyumba ya kuishi, walau iwe na vyumba viwili na sebule, choo, jiko, maji, umeme.

Bajeti yangu haizidi 200k
 
Back
Top Bottom