House4Rent NYUMBA YA KUPANGA ARUSHA

House4Rent NYUMBA YA KUPANGA ARUSHA

MKUDE SIMBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
305
Reaction score
167
Nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, jiko sebule, fensi, huduma ya maji ya kuaminika na ya kujitegemea umeme inahitajika maeneo ya njiro au moshono, budget laki 2.5.

hapana madalali. Inbox hapa jamii forums kwa mwenye nayo.
 
Kaka una mke... Kama una mke nipe namba yake nimuunge na mume wangu...
Mume wangu anapenda kuingia mikataba na wanawake sababu huwa waaminifu.

Tuna nyumba Sanawari mpangaji amehama juzi tu. Tunatafuta mpangaji...
 
Kaka una mke... Kama una mke nipe namba yake nimuunge na mume wangu...
Mume wangu anapenda kuingia mikataba na wanawake sababu huwa waaminifu.

Tuna nyumba Sanawari mpangaji amehama juzi tu. Tunatafuta mpangaji...
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kaka una mke... Kama una mke nipe namba yake nimuunge na mume wangu...
Mume wangu anapenda kuingia mikataba na wanawake sababu huwa waaminifu.

Tuna nyumba Sanawari mpangaji amehama juzi tu. Tunatafuta mpangaji...

Masihara haya.
 
Kaka una mke... Kama una mke nipe namba yake nimuunge na mume wangu...
Mume wangu anapenda kuingia mikataba na wanawake sababu huwa waaminifu.

Tuna nyumba Sanawari mpangaji amehama juzi tu. Tunatafuta mpangaji...

sawa mama Debora, naomba namba yako
 
Back
Top Bottom