Alex Hamadi Hamis
Member
- Apr 18, 2017
- 86
- 57
Habari za leo wanaJF,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Goba ama Mbezi Africana/Luis yenye vyumba viwili/vitatu vya kulala, choo, sebule, jiko na dining.
Umeme uwe wa kujitegemea, maji, pamoja na ulinzi salama.
Bajeti yangu mwisho ni 200k TZS, na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi 3 kwanza.
Pesa kamili ya udalali sina lakini kipo kiasi kadhaa cha kupooza machungu.
Tuwasiliane hapa +255676095799
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Goba ama Mbezi Africana/Luis yenye vyumba viwili/vitatu vya kulala, choo, sebule, jiko na dining.
Umeme uwe wa kujitegemea, maji, pamoja na ulinzi salama.
Bajeti yangu mwisho ni 200k TZS, na ninahitaji ya mkataba wa kuanzia kwa miezi 3 kwanza.
Pesa kamili ya udalali sina lakini kipo kiasi kadhaa cha kupooza machungu.
Tuwasiliane hapa +255676095799