Shillingi milioni 125 kwa hesabu za haraka sijui kama zimefika a hundred thousands dollars.
Bado ni nyumba ya thamani ya kawaida sana. Hata hivyo amejitahidi sana kuliko hao
bongo fleva wengine,wanaomaliza hela zao zote kwenye gambe na cocaine,mwisho wanakuwa
vichaa.