CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Hi, habari zenu?
Ushauri wenu, maoni yenu ni muhimu kweli!!!!!!!!!!
Nikitaka kujenga nyumbaya kuish mimi, mke wangu na mtoto wangu kama hii (AmazingPlans.com House Plan #1885C-SLM - 1885 Square Feet, 3 Bedrooms, 2 Full Bathrooms, Colonial, Contemporary, Country, Hillside, Ranch, Southern, Traditional, Victorian) kwa mbao na miti kama ile wanayojengea maukumbi ya starehe kama baa, pubs n.k, pia niifanye iwe thatched house (nyumba ya nyasi au makuti) na ile bonus house niijenge kwa mbao na miti pia, nayo iwe thatched. Sitaki kuweka ceiling board, nataka mapambo ya paa lenye nyasi yawe yanaonekana na pia nataka sakafu ya bonus room iwe ya mbao, siyo ya cement - itanigharimu sh. ngapi? Architects please, msaada wenu jamani. Mbao nitatoa huku maporini Liwale (niko Mtwara) na miti au nguzo nitanunua Dar au hata Iringa. Makuti yanapatikana huku kwa wamakonde.
Nikishajua gharama na nikaona si mbaya sana, kama kuna mdau wa maufundi hayo (Archtect), nitaomba tuongee naye!
Asanteni
Ushauri wenu, maoni yenu ni muhimu kweli!!!!!!!!!!
Nikitaka kujenga nyumbaya kuish mimi, mke wangu na mtoto wangu kama hii (AmazingPlans.com House Plan #1885C-SLM - 1885 Square Feet, 3 Bedrooms, 2 Full Bathrooms, Colonial, Contemporary, Country, Hillside, Ranch, Southern, Traditional, Victorian) kwa mbao na miti kama ile wanayojengea maukumbi ya starehe kama baa, pubs n.k, pia niifanye iwe thatched house (nyumba ya nyasi au makuti) na ile bonus house niijenge kwa mbao na miti pia, nayo iwe thatched. Sitaki kuweka ceiling board, nataka mapambo ya paa lenye nyasi yawe yanaonekana na pia nataka sakafu ya bonus room iwe ya mbao, siyo ya cement - itanigharimu sh. ngapi? Architects please, msaada wenu jamani. Mbao nitatoa huku maporini Liwale (niko Mtwara) na miti au nguzo nitanunua Dar au hata Iringa. Makuti yanapatikana huku kwa wamakonde.
Nikishajua gharama na nikaona si mbaya sana, kama kuna mdau wa maufundi hayo (Archtect), nitaomba tuongee naye!
Asanteni