Nyumba ya msanii Batuli yaungua moto

hiyo nyumba kajenga kwa kazi za kisanii? kanumba hakua na nyumba uyu katoa wap?
 
Hakuna kitu apo Uyu dada Ni jirani yangu iyo nyumba alihamisha vitu vyote iyo sinema tu Ili ccm wamjengee Au wamnunulie vitu mjin apa
 
Tena kaunguzwa na Jamaa mmoja anaitwa Adolph tapeli wa kuuza magari,tapeli wa kuibia wachina, muuza tanzanire fake kila kitu fake adi gold adi coper lakini Ana hela na ameungua
 
Tena kaunguzwa na Jamaa mmoja anaitwa Adolph tapeli wa kuuza magari,tapeli wa kuibia wachina, muuza tanzanire fake kila kitu fake adi gold adi coper lakini Ana hela na ameungua

Uwiiiiiii jamani dunia hii? Sasa kwa macho huwezi kuamini kama yule dada kaungua.
Na atakufa na wengi sana.
 
Ohooo! Hili mbona nimewahi kulisema sana huku?
Chukua tahadhari mkuu, maana una bahati baada ya 1st Sept haya mambo hatutaweza tena kuyajadili.

yani nifah unanipaga raha shost ha ha haaaa vijineno vyako ha ha haaa eti " hatutaweza tena kuyajadili"
 
Last edited by a moderator:
Na lile banda la kuku la diamond natamani nalo liungue CCM watawajengea

Watu wa Bavicha mna roho mbaya, sasa mkishika serikali tusio bavicha tutapona kweli ?

Sasa hivi chini ya ccm mnaenjoy, bar/mahotelini, kwenye burudani mnajichanganya hakuna anayewabugudhi...mkipata serikali si mtalazimisha kila mtu avae gwanda ndio anusurike/aenjoy kuwa Mtanzania.

Tunapenda mabadiliko lakini si ya aina hii ya kila asiyevaa gwanda atemewe mate....ona kina Nay wa Mitego, Prof J, Wolper wameweka wazi ufuasi wao na wanaishi raha mustarehe, hakuna anayewatukana wala kuwabugudhi....wanajisikia Watanzania na wanaendelea kuheshimika.

Kweli....BILA CCM IMARA NCHI ITAYUMBA......
 
Wewe acha tu binamu, hizi ni habari za uhakika zisizo hata na chembe ya shaka.
Bibie anatumia minjingu pale alipo, tamaa ya maisha ndio inayopelekea yote hayo.

Hii habare nishaipata somewhere, CCM wakome ule msemo wao kuwa matumaini peleka Angaza wakati hata wao wanaponea Angaza...
Asijali kuungua siku hizi ni kawaida.
 
Batuli kahamia kwa Wema.
Anavaa sare sare.
 
basi huo mzunguko wao maridhawa kwelikweli mana mh.DC saivi kapokelewa na ma Paula asa huu ugonjwa wa kifua utaisha kweli???
 
Wacha weee! Makubwa hayo.
Naona wanafarijiana vizuri, wafanye na hitma ya Kanumba wao kabisa.

Mwenzangu, wasifanye tu ile michezo yao mibaya ileee, maana hapa mtu ana chuma cha MOTO.
Asijemuunguza mama tOToo.
 
Mwenzangu, wasifanye tu ile michezo yao mibaya ileee, maana hapa mtu ana chuma cha MOTO.
Asijemuunguza mama tOToo.

Kwani mama nae ni mzima sasa? Wee acha tu shoga haya mambo yanatisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…