Nyumba ya namna hii yaweza kuwa na thamani kiasi gani?

Nyumba ya namna hii yaweza kuwa na thamani kiasi gani?

Aigle

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2020
Posts
1,540
Reaction score
7,973
Nataka kununua nyumba hii, mdau kaniambia Milioni 25.

Ina yafuatayo

√ Ina ukubwa wa SQM 100, + HATI.
√ Ni nyumba ya chini, sio ghorofa
√ Ina sakafu ya kawaida, haina tiles.
√ Ina vyumba viwili vya kulala, sebule, na choo ndani.
√ Madirisha ni ya kawaida, sio ALUMINIUM
√ Pia bati sio hizi za msauzi wala nyingine za garama sana, bali za kawaida hizi.

Je, wadau wa ujenzi, bei hio ni sawa, ?!

Karibu.
 
Hapo kitu kingine cha kukizingatia ni thamani ya kiwanja, mana unaweza ukanunua nyumba ya milion 20 mahali ambapo kiwanja tu pekee thamani yake ni milion 15
Wengi wanaouza nyumba, huwa hawakumbuki tena thamani ya ardhi...wanauza nyumba kama nyumba
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
Usijali karibu sana.
 
Nataka kununua nyumba hii, mdau kaniambia Milioni 25.

Ina maana

√ Ina ukubwa wa SQM 100, + HATI.
√ Ni nyumba ya chini, sio ghorofa
√ Ina sakafu ya kawaida, haina tiles.
√ Ina viwili vya kulala, sebule, na choo ndani.
√ Madirisha ni ya kawaida, sio ALUMINIUM
√ Pia bati sio hizi za msauzi wala nyingine za garama sana, bali za kawaida hizi.

Je, wadau wa ujenzi, bei hio ni sawa, ?!

Karibu.
15m hadi 18m zaidi ya hapo unaibiwa,kimbia
 
Nataka kununua nyumba hii, mdau kaniambia Milioni 25.

Ina yafuatayo

√ Ina ukubwa wa SQM 100, + HATI.
√ Ni nyumba ya chini, sio ghorofa
√ Ina sakafu ya kawaida, haina tiles.
√ Ina vyumba viwili vya kulala, sebule, na choo ndani.
√ Madirisha ni ya kawaida, sio ALUMINIUM
√ Pia bati sio hizi za msauzi wala nyingine za garama sana, bali za kawaida hizi.

Je, wadau wa ujenzi, bei hio ni sawa, ?!

Karibu.
Buku jero
 
Huwezi nunua nyumba yenye qualifications hizo babati kwa bei hizo,ni bora uje unue nyumba iliyoezekwa Dodoma yenye grill umalizie finishing utapangisha utapata sio chini ya 250K kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom