Nyumba ya urithi niliamua kuwapangisha wanafunzi wa chuo wameigeuza danguro, Heshima ya nyumba imepungua, Vinara ni vijana waliokuwa wanabanwa sana

Nyumba ya urithi niliamua kuwapangisha wanafunzi wa chuo wameigeuza danguro, Heshima ya nyumba imepungua, Vinara ni vijana waliokuwa wanabanwa sana

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Katika nyumba niliyorithishwa niliamua kuipangisha kwavile shughuli zangu nafanya mbali na tayari nipo najenga yangu, kwahiyo niliamua niwapangishe wanafunzi wa chuo cha karibu.

I am so Disappointed, Nyumba imekuwa ni kama gesti bubu, wanafunzi wa hapo ni vijana wa kiume wana pepo la ugwadu, ni kubadilisha sana mabinti na kuna mchezo wa kuwaazima wenzao vyumba kwajili ya kusasambua.

Mwezi flani hapo niliwahi kwenda kupacheki ilikuwa ni siku ambayo wengi wamemaliza mitihani hivyo nilitaka kufatilia wale naowadai, Dah Jamani! Balaa nilokutana nalo si la kitoto, wao huiita pens down!! Yaani baadhi ya vyumba unapita unaskia kinachoendelea na ni mchana.

Vinara wa haya mambo ni wale hasa wa boarding waliotokea shule hizi za seminary

Lakini pia wavuta ndumu nao wapo hapo ni kero kwakweli.

Heshima ya nyumba imepungua sana, nimeona tu nipangishe wanafunzi wa kike tu.
 
Kuna sheria yoyote ya nchi wamevunja? Au unawaonea wivu tu kwa kuwa uliruka stage😀😀

Unapangisha nyumba na unataka uwapangie watu namna ya kuishi!
Basi kaishi mwenyewe😀😀
 
Achana nao we jali matunzo ya nyumba hayo mengine hata hayana maana Wala madhara yoyote kwako Ni vile tu ubongo wako unadhani but it's neutral kwa upande wako

Hata hao wa like mbona huleta mabwana pia
 
Back
Top Bottom