Nyumba ya vyumba viwili inagharimu kiasi gani?

Nyumba ya vyumba viwili inagharimu kiasi gani?

said reuben

Member
Joined
Dec 22, 2018
Posts
62
Reaction score
28
Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja kuleta shida maana nina dada wawili na mm wa kiume pekee yangu.

Nimeona nikijenga ya vyumba vitatu na mm nikirudi kusalimia nikija nafamilia yangu hawatatosha so nimeamua nianze kumjengea mama nyumba ya vyumba viwili kimoja maste na sebule na jiko kwa sababu yuko peke yake na kingine wakae hao dada zangu.

Maana washakua WAKUBWA ANY TIME WANAEZA WAKASEPA KUANZISHA FAMILIA zao maana mwenye dada hakosi shemeji KWA HARAKA HARAKA NYUMBA YA VYUMBA VIWILI NA SEBULE NA JIKO INAWEZEZA GHARIMU SH NGAPI?
 
Ungekuwa na ramani ingekuwa rahisi kusaidiwa gharama, ilawastan kwa 10m unaweza paua na kuweka vitu vichache muhimu
 
Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja kuleta shida maana nina dada wawili na mm wa kiume pekee yangu.

Nimeona nikijenga ya vyumba vitatu na mm nikirudi kusalimia nikija nafamilia yangu hawatatosha so nimeamua nianze kumjengea mama nyumba ya vyumba viwili kimoja maste na sebule na jiko kwa sababu yuko peke yake na kingine wakae hao dada zangu.

Maana washakua WAKUBWA ANY TIME WANAEZA WAKASEPA KUANZISHA FAMILIA zao maana mwenye dada hakosi shemeji KWA HARAKA HARAKA NYUMBA YA VYUMBA VIWILI NA SEBULE NA JIKO INAWEZEZA GHARIMU SH NGAPI?
 
Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja kuleta shida maana nina dada wawili na mm wa kiume pekee yangu.

Nimeona nikijenga ya vyumba vitatu na mm nikirudi kusalimia nikija nafamilia yangu hawatatosha so nimeamua nianze kumjengea mama nyumba ya vyumba viwili kimoja maste na sebule na jiko kwa sababu yuko peke yake na kingine wakae hao dada zangu.

Maana washakua WAKUBWA ANY TIME WANAEZA WAKASEPA KUANZISHA FAMILIA zao maana mwenye dada hakosi shemeji KWA HARAKA HARAKA NYUMBA YA VYUMBA VIWILI NA SEBULE NA JIKO INAWEZEZA GHARIMU SH NGAPI?
 
Inategemea na quality ya tofali. Yangu imenigharimu milioni 50 pamoja na ukuta na ni vyumba viwili tu na jiko
 
Kimsingi hata kwa 10m unaweza kujenga hiyo nyumba tukumbuke kuna kitasa cha elfu 3500 na kuna kitasa cha laki 2. Kwahiyo mtu akikwambia itagarimu 60m sababu ndio hizo... ila kwa basic house inategemea na mazingira ila 10m inatosha
 
Habarini wakuu, mukihitaji ramani nzuri msisite kututafuta kwa 0715477041, pia mwaweza tembelea link hii kujionea baadhi ya kazi zetu

 
Back
Top Bottom