House4Rent Nyumba ya vyumba viwili na Sebule inapangishwa

House4Rent Nyumba ya vyumba viwili na Sebule inapangishwa

dalalisaint

New Member
Joined
Mar 30, 2021
Posts
2
Reaction score
2
Maelezo Zaidi: 0716442950

IMG_20210519_125524.jpg
IMG_20210519_125644.jpg
IMG_20210519_125657.jpg
IMG_20210519_125452.jpg
IMG_20210519_125403.jpg
 
Nyumba ya Vyumba viwili, Pamoja na Sebule, na Choo cha Public.

Nyumba ipo Karibu kabisa na barabara ya Lami, nyumba ya pili kutoka lami.

Nyumba Ina:
Fensi, Maji ya dawasa, Umeme wa Luku yake, Parking.

Mahali: Mbezibeach Kwakomba
Bei: Tshs 250,000 Kwa Mwezi

Haina jiko, ila Kuna baraza unaweza Kupikia hapo.

Maelezo Zaidi: 0716442950View attachment 1791050View attachment 1791051View attachment 1791054View attachment 1791053View attachment 1791052
Kuna jamaa yangu anatafta chumba dable iwe kimara kama unajua mahali vipo nikuunganishe hata kama Ni nyumba yenye vyumba viwil seble na jiko,
 
Back
Top Bottom