Nyumba yako iko tayari kupokea Mgeni wakati wowote au hadi usikie kuna mgeni?

Nyumba yako iko tayari kupokea Mgeni wakati wowote au hadi usikie kuna mgeni?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
watu wengi wamekuwa wakiishi kwa mazoea katika nyumba zao hadi wanaposikua kuna mgeni ndio wanaanza kupangilia vitu na kufanya usafi.

Hii hali kwako ikoje?
Uko tayari muda wowote?

Tupe uzoefu wako.
 
watu wengi wamekuwa wakiishi kwa mazoea katika nyumba zao hadi wanaposikua kuna mgeni ndio wanaanza kupangilia vitu na kufanya usafi.

Hii hali kwako ikoje?
Uko tayari muda wowote?

Tupe uzoefu wako.
Wanaoweza hayo ni wafanyabiashara wakubwa,viongozi wajuu wa serikalini na matajiri maana majumbani kwao wana wafanyakazi karibia wa5 ila siye mpaka usikie mgeni anakuja ndiyo unafagia uwanja na kufagia vyumbani na kutoa matandabui.
 
Back
Top Bottom