Marco Z
Member
- Jul 4, 2016
- 30
- 27
Sifa za nyumba:
[emoji768] Ina vyumba 4 vya kulala
[emoji768] sitting & dining room
[emoji768] Jiko ndani na nje
[emoji768] Kisima cha maji na tank la maji
[emoji768] Fensi na parking ya gari
[emoji768] miti na maua ya kutosha
[emoji768] Mazingira yake ni tulivu sana na upepo mzuri.
[emoji768] Ina hati miliki
[emoji768] Nyumba iko Chamazi.
[emoji768] Bei milioni 65. (65,000,000)
NB: Nyumba haina migogoro yoyote, sababu ya kuuzwa ni shida binafsi na magonjwa. Ndio bei yake iko nafuu sana ili mteja apatikane kwa haraka. Karibuni sana.
[emoji768] Ina vyumba 4 vya kulala
[emoji768] sitting & dining room
[emoji768] Jiko ndani na nje
[emoji768] Kisima cha maji na tank la maji
[emoji768] Fensi na parking ya gari
[emoji768] miti na maua ya kutosha
[emoji768] Mazingira yake ni tulivu sana na upepo mzuri.
[emoji768] Ina hati miliki
[emoji768] Nyumba iko Chamazi.
[emoji768] Bei milioni 65. (65,000,000)
NB: Nyumba haina migogoro yoyote, sababu ya kuuzwa ni shida binafsi na magonjwa. Ndio bei yake iko nafuu sana ili mteja apatikane kwa haraka. Karibuni sana.